Ukurasa wa Kichwa/Ukurasa wa Wachapishaji
Kuokolewa Kuingia Katika Dunia Mpya
Kuokoka kumekuwa hangaiko kubwa katika nyakati zetu. Lakini kinachowaelekea wanadamu kinaogopesha sana kuliko na vita ya silaha za nyukilia. Ni kutozwa hesabu na Muumba mwenyewe. Mambo ya unabii wa Biblia yenye kustaajabisha yanaonyesha waziwazi kwamba kutakuwako waokokaji na kwamba wanatazamia mambo mazuri ajabu apa hapa duniani. Kitabu hiki kimechapishwa ili kikusaidie uwe mmoja wao.
—Watangazaji