Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • ie uku. 32
  • Je! Nafsi Ni Isiyoweza Kufa?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Je! Nafsi Ni Isiyoweza Kufa?
  • Ni Nini Hutupata Tunapokufa?
Ni Nini Hutupata Tunapokufa?
ie uku. 32

Je! Nafsi Ni Isiyoweza Kufa?

▸ Dini nyingi hufundisha kwamba kitu fulani ndani ya mtu—nafsi, roho, mzuka—ni kisichoweza kufa na huendelea kuishi baada ya kifo. Je! hilo ni kweli?

▸ Fundisho la kutoweza kufa kwa nafsi lilianza namna gani?

▸ Namna gani fundisho hili lilikuja kuwa la msingi kwa dini nyingi za siku zetu?

▸ Kwa kweli nafsi ni nini?

▸ Kwa nini tunakufa?

▸ Jambo gani huifikia nafsi wakati wa kifo?

▸ Ni tumaini gani lililopo kwa wafu—na walio hai?

▸ Je! kile unachoamini kuhusu nafsi ni jambo la maana?

Majibu ya kweli na yenye kutosheleza ya maulizo haya yanapatikana katika kitabu cha zamani zaidi sana kilichopata kuandikwa. Unaalikwa kuyachunguza katika broshua hii.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki