EFESO
Akila na Prisila: bt 149-150, 154, 159; w03 11/15 18-19; w96 10/1 21; w96 12/15 23-24
Artemi: g 3/11 18-19
hekalu: bt 161; w04 12/15 27-28
sanamu: g 3/11 19; w09 2/1 19
Baraza la Efeso (431 W.K.):
Maria “mama ya Mungu”: w09 11/1 8; w04 12/15 28; rs 184, 187
eneo ambako Efeso liko: re 28, 33; w04 12/15 26
huduma ya Apolo: bt 157, 159; w96 10/1 20-21
huduma ya Paulo: bt 12; w08 12/15 17-18; w07 8/15 9-10; w04 12/15 26-27
aandika Kitabu cha Kwanza cha Wakorintho: w96 10/1 22
‘alipigana na wanyama-mwitu’ (1Ko 15:32): bt 163; w02 6/15 26-28; w98 7/1 18; w96 11/1 16
baadhi ya Wakristo wabatizwa tena (Mdo 19:1-7): bt 160
Demetrio achochea ghasia: w09 2/1 19; bt 157, 163-164; w05 5/1 30; w97 9/15 29-30
karani wa jiji akomesha ghasia (Mdo 19:35-41): bt 164
miujiza: bt 162
shule ya Tirano: bt 160-161
Wakristo wapya wateketeza vitabu vya uchawi: bt 162-163; g00 7/22 6-7
ziara fupi 52 W.K. (Mdo 18:19-21): bt 154
maelezo: bt 161; w04 12/15 26-29
magofu:
picha za magofu: re 23; w04 12/15 27-29
safari ya kuyatazama: w04 12/15 28-29
mazungumzo ya Paulo pamoja na wazee Wakristo kutoka Efeso (Mdo 20:17-38): bt 169-172; w08 12/15 16-19
huko Mileto: w08 12/15 16-17; w04 10/15 19
ujumbe kwa kutaniko (Ufu 2:1-7): re 33-37; w03 5/15 11-12; w02 10/1 20-21
uwanja wa maonyesho: w04 12/15 29
picha: w07 8/15 10