Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • gnjvrg sura 1
  • 1. Nuru ya Kweli ya Ulimwengu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • 1. Nuru ya Kweli ya Ulimwengu
  • Habari Njema Kulingana na Yesu—Mwongozo wa Marejeo ya Video
Habari Njema Kulingana na Yesu—Mwongozo wa Marejeo ya Video
gnjvrg sura 1

DRAMA YA 1

Nuru ya Kweli ya Ulimwengu

Hapo mwanzo Neno alikuwako pamoja na Mungu naye alikuwa mungu (gnj 1 00:00–00:43)

Yoh 1:1, 2

Neno alitumiwa na Mungu kuumba vitu vingine vyote (gnj 1 00:44–01:00)

Yoh 1:3a

Uzima na nuru vilikuja kuwako kupitia kwa Neno (gnj 1 01:01–02:11)

Yoh 1:3b, 4

Giza halijaishinda nuru (gnj 1 02:12–03:59)

Yoh 1:5

Luka anaeleza sababu na hali zilizomwongoza kuandika simulizi lake, anamwandikia Theofilo (gnj 1 04:13–06:02)

Lu 1:1-4

Gabrieli anatabiri kuzaliwa kwa Yohana Mbatizaji (gnj 1 06:04–13:53)

Lu 1:5-25

Gabrieli anatabiri kuzaliwa kwa Yesu (gnj 1 13:52–18:26)

Lu 1:26-38

Maria anamtembelea Elisabeti mtu wake wa ukoo (gnj 1 18:27–21:15)

Lu 1:39-45

Maria anamtukuza Yehova (gnj 1 21:14–24:00)

Lu 1:46-56

Kuzaliwa kwa Yohana na kupewa jina (gnj 1 24:01–27:17)

Lu 1:57-66

Unabii wa Zekaria (gnj 1 27:15–30:56)

Lu 1:67-80

Maria anapata mimba kupitia roho takatifu; jinsi Yosefu alivyotenda (gnj 1 30:58–35:29)

Mt 1:18-25

Yosefu na Maria wanasafiri kwenda Bethlehemu; Yesu anazaliwa (gnj 1 35:30–39:53)

Lu 2:1-7

Malaika wanawatokea wachungaji waliokuwa nje (gnj 1 39:54–41:40)

Lu 2:8-14

Wachungaji wanaenda kwenye hori (gnj 1 41:41–43:53)

Lu 2:15-20

Yesu anatolewa kwa Yehova hekaluni (gnj 1 43:56–45:02)

Lu 2:21-24

Simeoni anapata pendeleo la kumwona Kristo (gnj 1 45:04–48:50)

Lu 2:25-35

Ana anazungumza kumhusu mtoto huyo (gnj 1 48:52–50:21)

Lu 2:36-38

Ziara ya wanajimu na njama ya Herode ya kuua (gnj 1 50:25–55:52)

Mt 2:1-12

Yosefu anamchukua Maria na Yesu na kukimbilia Misri (gnj 1 55:53–57:34)

Mt 2:13-15

Herode awaua wavulana wadogo Bethlehemu na katika wilaya zake zote (gnj 1 57:35–59:32)

Mt 2:16-18

Familia ya Yesu inakaa Nazareti (gnj 1 59:34–1:03:55)

Mt 2:19-23; Lu 2:39, 40

Yesu aenda hekaluni akiwa na umri wa miaka 12 (gnj 1 1:04:00–1:09:40)

Lu 2:41-50

Yesu anarudi Nazareti na wazazi wake (gnj 1 1:09:41–1:10:27)

Lu 2:51, 52

Nuru ya kweli ilikuwa karibu kuja ulimwenguni (gnj 1 1:10:28–1:10:55)

Yoh 1:9

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki