29 Basi, ikiwa jicho lako la kulia linafanya ujikwae, ling’oe na kulitupilia mbali.+ Kwa maana ni afadhali upoteze kiungo kimoja kuliko mwili wako wote utupwe katika Gehena.*+
29 Ikiwa, sasa, hilo jicho lako la kuume linakufanya ukwazike, ling’oe ulitupilie mbali nawe.+ Kwa maana kuna faida zaidi kwako kimoja cha viungo vyako kipotee kuliko mwili wako wote utupwe+ ndani ya Gehena.*