9 Yesu alipokuwa akiondoka mahali hapo akamwona mtu aliyeitwa Mathayo akiwa ameketi kwenye ofisi ya kodi, akamwambia: “Njoo uwe mfuasi wangu.” Mara moja akasimama na kumfuata.+
9 Halafu, alipokuwa akiondoka mahali hapo, Yesu akamwona mtu anayeitwa Mathayo akiwa ameketi kwenye ofisi ya kodi, naye akamwambia: “Uwe mfuasi wangu.”+ Akasimama mara moja na kumfuata.+