28 Alipoingia ndani ya nyumba, wale wanaume vipofu wakamjia, Yesu akawauliza: “Je, mna imani kwamba ninaweza kufanya hivyo?”+ Wakamjibu: “Ndiyo Bwana.”
28 Alipokuwa amekwisha kuingia katika ile nyumba, wale wanaume vipofu wakamjia, naye Yesu akawauliza: “Je, mna imani+ kwamba ninaweza kufanya hivyo?” Wakamjibu: “Ndiyo, Bwana.”