Mathayo 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wakati huo, Yesu alipitia katikati ya mashamba ya nafaka siku ya Sabato. Wanafunzi wake wakahisi njaa wakaanza kukata masuke ya nafaka na kula.+ Mathayo 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wakati huo Yesu akapita katikati ya mashamba ya nafaka siku ya sabato.+ Wanafunzi wake wakaona njaa na kuanza kukata masuke ya nafaka na kula.+ Mathayo Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 12:1 w97 11/15 28 Mathayo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 12:1 Yesu—Njia, uku. 76 Mnara wa Mlinzi,11/15/1997, uku. 287/15/1986, uku. 8
12 Wakati huo, Yesu alipitia katikati ya mashamba ya nafaka siku ya Sabato. Wanafunzi wake wakahisi njaa wakaanza kukata masuke ya nafaka na kula.+
12 Wakati huo Yesu akapita katikati ya mashamba ya nafaka siku ya sabato.+ Wanafunzi wake wakaona njaa na kuanza kukata masuke ya nafaka na kula.+