22 Na mbegu iliyopandwa kwenye miiba, ni yule anayelisikia neno, lakini mahangaiko ya mfumo huu wa mambo*+ na nguvu za udanganyifu za utajiri hulisonga neno, nalo halizai matunda.+
22 Na yule aliyepandwa katikati ya miiba, huyo ndiye anayelisikia neno, lakini mahangaiko ya mfumo huu wa mambo+ na nguvu za udanganyifu wa utajiri hulisonga neno, naye huwa asiyezaa matunda.+