30 Acheni vikue pamoja mpaka wakati wa mavuno, na katika majira ya mavuno nitawaambia wavunaji: Kusanyeni magugu kwanza na kuyafunga matita-matita ili yateketezwe motoni; kisha mkusanye ngano ghalani mwangu.’”+
30 Acheni zikue pamoja mpaka wakati wa mavuno; na katika majira ya mavuno nitawaambia wavunaji, Kwanza kusanyeni magugu na kuyafunga matita-matita ili kuyateketeza motoni,+ ndipo nendeni mkusanye ngano ghalani mwangu.’ ”+