15 Lakini ilipofika jioni, wanafunzi wake wakaja na kumwambia: “Mahali hapa hapana watu na muda umesonga sana; uambie umati uondoke, waende vijijini wakajinunulie chakula.”+
15 Lakini jioni ilipofika wanafunzi wake wakamjia na kusema: “Mahali hapa hapana watu na saa tayari imesonga sana; acha umati waende zao, ili wapate kwenda vijijini na kujinunulia chakula.”+