8 “Ilipofika jioni, mwenye shamba la mizabibu akamwambia msimamizi wake, ‘Waite wafanyakazi uwalipe mshahara wao,+ ukianza na wa mwisho na kumalizia na wa kwanza.’
8 “Ilipofika jioni,+ bwana wa shamba la mizabibu akamwambia msimamizi wake, ‘Waite wafanyakazi na kuwalipa mshahara wao,+ ukianza na yule wa mwisho mpaka yule wa kwanza.’