Mathayo 20:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Hata hivyo, umati ukawakemea na kuwaambia wanyamaze; lakini wakapaza sauti hata zaidi, wakisema: “Bwana, Mwana wa Daudi, tuhurumie!”* Mathayo 20:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Lakini umati ukasisitiza kuwaambia wakae kimya; na bado wakapaaza sauti kubwa hata zaidi, wakisema: “Bwana, uturehemu, Mwana wa Daudi!”+
31 Hata hivyo, umati ukawakemea na kuwaambia wanyamaze; lakini wakapaza sauti hata zaidi, wakisema: “Bwana, Mwana wa Daudi, tuhurumie!”*
31 Lakini umati ukasisitiza kuwaambia wakae kimya; na bado wakapaaza sauti kubwa hata zaidi, wakisema: “Bwana, uturehemu, Mwana wa Daudi!”+