7 mwanamke fulani aliyekuwa na chupa ya alabasta yenye mafuta ghali yenye marashi akamkaribia, akaanza kuyamimina juu ya kichwa cha Yesu alipokuwa akila.*
7 mwanamke mwenye chupa ya alabasta iliyo na mafuta ghali yenye marashi+ akamkaribia, naye akaanza kuyamimina juu ya kichwa cha Yesu alipokuwa ameketi mezani.