55 Saa hiyo, Yesu akauambia umati: “Je, mmekuja kunikamata mkiwa na mapanga na marungu kana kwamba mimi ni mwizi? Siku baada ya siku nilikuwa nikiketi hekaluni nikifundisha+ lakini hamkunikamata.+
55 Ndipo Yesu akauambia umati: “Je, mmetoka mkiwa na mapanga na marungu kana kwamba ni kwenda juu ya mnyang’anyi ili kunikamata?+ Siku baada ya siku nilikuwa nikiketi katika hekalu+ nikifundisha, na bado hamkunikamata.