20 Kwa maana Herode alimwogopa Yohana kwa kuwa alijua ni mtu mwadilifu na mtakatifu,+ naye alikuwa akimlinda. Baada ya kumsikiliza, hakujua la kufanya, lakini bado aliendelea kumsikiliza kwa furaha.
20 Kwa maana Herode alikuwa akimwogopa+ Yohana, na alimjua kuwa mtu mwadilifu na mtakatifu;+ naye alikuwa akimlinda. Na baada ya kumsikia+ akawa hajui kabisa la kufanya, lakini aliendelea kumsikia kwa furaha.