21 Nafasi ilipatikana Herode alipoandaa mlo wa jioni kwenye sherehe ya sikukuu yake ya kuzaliwa.+ Akawaalika maofisa wake wa cheo cha juu, makamanda wa jeshi, na watu mashuhuri zaidi wa Galilaya.+
21 Lakini siku inayofaa+ ikafika wakati Herode alipoandaa mlo wa jioni kwenye sikukuu ya kuzaliwa+ kwake kwa ajili ya wenye daraja la juu na viongozi wake wa kijeshi na walio wa cheo cha kwanza kabisa wa Galilaya.