Marko 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Walipokuwa wakishuka kutoka mlimani, akawaamuru wasimwambie mtu yeyote kile walichoona,+ hadi Mwana wa binadamu atakapofufuliwa kutoka kwa wafu.+ Marko 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Walipokuwa wakishuka kutoka kwenye ule mlima, akawaagiza waziwazi wasimsimulie+ mtu yeyote kile walichoona, mpaka baada ya Mwana wa binadamu kufufuka kutoka kwa wafu.+
9 Walipokuwa wakishuka kutoka mlimani, akawaamuru wasimwambie mtu yeyote kile walichoona,+ hadi Mwana wa binadamu atakapofufuliwa kutoka kwa wafu.+
9 Walipokuwa wakishuka kutoka kwenye ule mlima, akawaagiza waziwazi wasimsimulie+ mtu yeyote kile walichoona, mpaka baada ya Mwana wa binadamu kufufuka kutoka kwa wafu.+