12 Akawaambia: “Eliya anakuja kwanza na kurudisha mambo yote;+ lakini kwa nini imeandikwa kwamba lazima Mwana wa binadamu apatwe na mateso mengi+ na atendewe kwa dharau?+
12 Akawaambia: “Eliya anakuja kwanza na kurudisha mambo yote;+ lakini kwa nini imeandikwa juu ya Mwana wa binadamu kwamba lazima apatwe na mateso mengi+ na kutendewa kama asiye wa maana?+