14 Pia, wale walio katika utumishi wa jeshi walikuwa wakimuuliza: “Tufanye nini?” Akawaambia: “Msimsumbue* mtu yeyote wala kumshtaki mtu yeyote kwa uwongo,+ bali mtosheke na posho yenu.”*
14 Pia, wale walio katika utumishi wa kijeshi wakamuuliza: “Na sisi pia tufanye nini?” Naye akawaambia: “Msimsumbue mtu yeyote wala kumshtaki+ mtu yeyote kwa uwongo, bali mtosheke na posho lenu.”+