23 Ndipo akawaambia: “Bila shaka mtautumia mfano huu kwangu, ‘Daktari, jiponye mwenyewe. Fanya pia katika eneo la nyumbani kwenu mambo tuliyosikia yamefanywa huko Kapernaumu.’”+
23 Ndipo akawaambia: “Bila shaka mtautumia mfano huu kwangu, ‘Tabibu,+ jiponye mwenyewe; mambo+ tuliyosikia kwamba yamekwisha kutukia katika Kapernaumu+ yafanye pia hapa katika eneo la nyumbani kwako.’ ”+