41 Roho waovu pia wakawatoka watu wengi, wakipaza sauti na kusema: “Wewe ndiye Mwana wa Mungu.”+ Lakini aliwakemea na hakuwaruhusu waseme,+ kwa maana walijua yeye ni Kristo.+
41 Roho waovu pia wakawa wakiwatoka wengi,+ wakipaaza sauti na kusema: “Wewe ndiye Mwana wa Mungu.”+ Lakini, kwa kuwakemea, hakuwa akiwaruhusu kusema,+ kwa sababu walijua kuwa yeye+ ndiye Kristo.+