6 Basi Yesu akaenda pamoja nao. Alipokaribia nyumba hiyo, yule ofisa wa jeshi alikuwa tayari amewatuma rafiki zake wamwambie: “Bwana, usijisumbue, kwa maana mimi sistahili uingie ndani ya nyumba yangu.+
6 Kwa hiyo Yesu akaondoka pamoja nao. Alipokuwa karibu na nyumba hiyo, yule ofisa-jeshi alikuwa tayari amewatuma rafiki wamwambie: “Bwana, usijisumbue, kwa maana mimi sistahili wewe uingie chini ya paa yangu.+