39 Alipoona hivyo, yule Farisayo aliyemwalika akajiambia: “Kama kweli mtu huyu angekuwa nabii, angejua ni nani na ni mwanamke wa aina gani anayemgusa, kwamba ni mtenda dhambi.”+
39 Alipoona hayo yule Farisayo aliyemwalika akasema moyoni mwake: “Mtu huyu, kama angekuwa nabii,+ angejua mwanamke huyu anayemgusa ni nani na ni mtu wa aina gani, kwamba ni mtenda-dhambi.”+