8Muda mfupi baadaye Yesu akasafiri kutoka jiji mpaka jiji na kijiji mpaka kijiji, akihubiri na kutangaza habari njema ya Ufalme wa Mungu.+ Wale 12 walikuwa pamoja naye,
8Upesi baadaye akaanza kusafiri kutoka jiji mpaka jiji na kutoka kijiji mpaka kijiji, akihubiri na kutangaza habari njema ya ufalme wa Mungu.+ Na wale kumi na wawili walikuwa pamoja naye,