10 Akawaambia: “Ninyi mmepewa uwezo wa kuelewa siri takatifu za Ufalme wa Mungu, lakini ninazungumza na wale wengine kwa mifano,+ ili ingawa wanatazama, watazame lakini wasione, na ingawa wanasikia, wasielewe.+
10 Akasema: “Ninyi mmepewa uwezo wa kuzielewa siri takatifu za ufalme wa Mungu, lakini kwa wale wengine zimo kwa mifano,+ ili, ingawa wanatazama, wapate kutazama bure na, ingawa wanasikia, wasiipate maana.+