15 Nazo mbegu zilizoanguka kwenye udongo mzuri, ni wale wenye moyo mzuri na mwema,+ ambao baada ya kulisikia neno hulihifadhi na kuzaa matunda kwa uvumilivu.+
15 Na zile zilizo kwenye udongo mzuri, hawa ndio ambao, baada ya kusikia lile neno kwa moyo+ mzuri na mwema, hulihifadhi na kuzaa matunda kwa uvumilivu.+