16 “Hakuna mtu anayewasha taa na kuifunika kwa chombo au kuiweka chini ya kitanda, bali huiweka kwenye kinara cha taa, ili iwaangazie wale wanaoingia.+
16 “Hakuna yeyote ambaye, baada ya kuwasha taa, huifunika na chombo au kuiweka chini ya kitanda, bali huiweka juu ya kinara cha taa, ili wale wanaoingia ndani wapate kuiona nuru.+