27 Yesu alipotoka kwenye mashua akakutana na mwanamume fulani kutoka jijini aliyekuwa na roho mwovu. Hakuwa amevaa nguo kwa muda mrefu, na hakuwa akiishi katika nyumba bali aliishi makaburini.*+
27 Lakini alipotoka kwenye nchi kavu mwanamume fulani kutoka katika jiji hilo aliyekuwa na roho waovu akakutana naye. Na alikuwa hajavaa mavazi kwa muda mrefu, naye alikuwa akikaa, si nyumbani, bali katikati ya makaburi.+