Luka 9:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Yohana akasema: “Mwalimu, tulimwona mtu fulani akifukuza roho waovu kwa kutumia jina lako, tukajaribu kumzuia, kwa sababu hafuatani nasi.”+ Luka 9:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Yohana akajibu akasema: “Mwalimu, tulimwona mtu fulani akitoa roho waovu+ kwa kutumia jina lako nasi tukajaribu kumzuia,+ kwa sababu hafuatani nasi.”+ Luka Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 9:49 Yesu—Njia, uku. 150 Mnara wa Mlinzi,2/15/1988, uku. 8
49 Yohana akasema: “Mwalimu, tulimwona mtu fulani akifukuza roho waovu kwa kutumia jina lako, tukajaribu kumzuia, kwa sababu hafuatani nasi.”+
49 Yohana akajibu akasema: “Mwalimu, tulimwona mtu fulani akitoa roho waovu+ kwa kutumia jina lako nasi tukajaribu kumzuia,+ kwa sababu hafuatani nasi.”+