2 Kisha akawaambia: “Ndiyo, mavuno ni mengi, lakini wafanyakazi ni wachache. Kwa hiyo mwombeni Bwana wa mavuno awatume wafanyakazi katika mavuno yake.+
2 Ndipo akaanza kuwaambia: “Kwa kweli, mavuno+ ni mengi, lakini wafanyakazi+ ni wachache. Kwa hiyo mwombeni+ Bwana wa mavuno atume wafanyakazi+ katika mavuno yake.