13 “Ole wako, Korazini! Ole wako, Bethsaida! kwa sababu kama matendo yenye nguvu yaliyofanywa kwenu yangefanywa huko Tiro na Sidoni, wangekuwa wametubu zamani, wakiwa wamevaa nguo za magunia na kuketi kwenye majivu.+
13 “Ole wako, Korazini!+ Ole wako, Bethsaida!+ kwa sababu kama zile kazi zenye nguvu ambazo zimetendeka kwenu zingalikuwa zimetendeka katika Tiro na Sidoni, wangalikuwa wametubu zamani za kale wakiwa wameketi katika nguo za magunia na majivu.+