22 Baba yangu amenikabidhi vitu vyote, na hakuna mtu anayemjua Mwana isipokuwa Baba, wala hakuna anayemjua Baba isipokuwa Mwana,+ na yeyote ambaye Mwana anapenda kumfunulia.”+
22 Baba yangu amevitia+ vitu vyote mkononi mwangu, na hakuna anayemjua Mwana ni nani ila Baba;+ na hakuna anayemjua Baba ni nani ila Mwana,+ na yule ambaye Mwana anapenda kumfunulia.”