42 Bwana akasema: “Kwa kweli ni nani msimamizi* mwaminifu, mwenye busara,* ambaye bwana wake atamweka asimamie watumishi* wake na kuendelea kuwapa kipimo chao cha chakula kwa wakati unaofaa?+
42 Naye Bwana akasema: “Ni nani kwa kweli aliye msimamizi-nyumba mwaminifu,+ mwenye busara,+ ambaye bwana wake atamweka rasmi juu ya watumishi wake kuendelea kuwapa kipimo chao cha chakula katika wakati unaofaa?+