7 Vivyo hivyo, ninawaambia kwamba kutakuwa na shangwe nyingi mbinguni kwa sababu ya mtenda dhambi mmoja anayetubu+ kuliko kwa waadilifu 99 ambao hawahitaji kutubu.
7 Mimi ninawaambia ninyi kwamba ndivyo kutakavyokuwa na shangwe zaidi mbinguni juu ya mtenda-dhambi mmoja anayetubu+ kuliko juu ya waadilifu 99 ambao hawahitaji kutubu.+