11 Walipokuwa wakisikiliza mambo hayo, akawaambia mfano mwingine, kwa sababu alikuwa karibu na Yerusalemu nao walifikiri Ufalme wa Mungu ungetokea ghafla.+
11 Walipokuwa wakisikiliza mambo hayo akatoa mfano kwa kuongezea, kwa sababu alikuwa karibu na Yerusalemu nao walikuwa wakiwazia kwamba ufalme wa Mungu ulikuwa ukikaribia kujionyesha mara moja.+