27 Kwa maana ni nani aliye mkuu zaidi, yule anayekula* au yule anayehudumu?* Ni yule anayekula,* sivyo? Lakini mimi ni kama mtu anayehudumu* kati yenu.+
27 Kwa maana ni nani aliye mkuu zaidi, yule anayeketi mezani au yule anayehudumu? Je, si yule anayeketi mezani? Lakini mimi nimo katikati yenu kama yule anayehudumu.+