6 Kulikuwa na mitungi sita ya maji hapo kulingana na sheria za utakaso za Wayahudi,+ kila mmoja ulikuwa na uwezo wa kuchukua vipimo* viwili au vitatu vya maji.
6 Kama ilivyokuwa, kulikuwako mitungi sita ya maji ikiwa imekaa hapo kulingana na kanuni za utakaso+ za Wayahudi, kila mmoja ukiwa unaweza kuchukua vipimo viwili au vitatu vya maji.