10 Yesu akamjibu: “Kama ungejua zawadi ya bure inayotoka kwa Mungu+ na ni nani ambaye anakuambia, ‘Naomba maji ninywe,’ ungemwomba, naye angekupa maji yaliyo hai.”+
10 Yesu akajibu, akamwambia: “Kama ungalijua zawadi+ ya bure inayotoka kwa Mungu, na ni nani+ ambaye anakuambia, ‘Nipe maji ninywe,’ ungalimwomba, naye angalikupa maji yaliyo hai.”+