24 Kwa kweli ninawaambia, yeyote ambaye husikia neno langu na kumwamini Yule aliyenituma ana uzima wa milele,+ naye hahukumiwi bali amevuka kutoka katika kifo na kuingia kwenye uzima.+
24 Kwa kweli kabisa ninawaambia ninyi, Yule ambaye husikia neno langu na kumwamini yule aliyenituma ana uzima wa milele,+ naye haingii hukumuni bali amevuka kutoka katika kifo na kuingia katika uzima.+