26 Nina mambo mengi ya kusema kuwahusu na mengi ya kuhukumu. Kwa hakika, Yule aliyenituma ni wa kweli, na mambo niliyoyasikia kutoka kwake ninayasema ulimwenguni.”+
26 Nina mambo mengi ya kusema juu yenu na kutoa hukumu juu ya mambo hayo. Kwa hakika, yule aliyenituma ni wa kweli, na mambo yale niliyoyasikia kutoka kwake ninayasema ulimwenguni.”+