9 Wakati huohuo, umati mkubwa wa Wayahudi ukajua kwamba alikuwa huko, nao ukaja, si kwa sababu ya Yesu tu, bali pia ili kumwona Lazaro aliyekuwa amefufuliwa kutoka kwa wafu.+
9 Kwa hiyo umati mkubwa wa Wayahudi wakapata kujua kwamba alikuwa huko, nao wakaja, si kwa sababu ya Yesu tu, bali pia wamwone Lazaro, aliyemfufua kutoka kwa wafu.+