16 Mwanzoni, wanafunzi wake hawakuelewa mambo hayo, lakini Yesu alipotukuzwa,+ wakakumbuka kwamba mambo hayo yalikuwa yameandikwa kumhusu na kwamba walimtendea mambo hayo.+
16 Mambo haya wanafunzi wake hawakuyajali hapo kwanza,+ lakini Yesu alipotukuzwa,+ ndipo walipokumbuka kwamba mambo haya yalikuwa yameandikwa juu yake na kwamba walimtendea mambo hayo.+