34 Kisha umati ukamwambia: “Tulisikia kutoka katika Sheria kwamba Kristo hudumu milele.+ Kwa nini unasema kwamba lazima Mwana wa binadamu ainuliwe?+ Huyo Mwana wa binadamu ni nani?”
34 Kwa hiyo umati wakamjibu: “Sisi tulisikia kutoka katika Sheria kwamba Kristo hudumu milele;+ basi kwa nini unasema kwamba lazima Mwana wa binadamu ainuliwe?+ Huyo Mwana wa binadamu ni nani?”+