12 Kwa kweli ninawaambia, yeyote anayeniamini atafanya pia kazi ambazo mimi hufanya; naye atafanya kazi kubwa kuliko hizi,+ kwa sababu ninaenda zangu kwa Baba.+
12 Kwa kweli kabisa ninawaambia ninyi, Yule anayeniamini, huyo pia atafanya kazi ambazo mimi hufanya; naye atafanya kazi kubwa+ kuliko hizi, kwa sababu ninaenda kwa Baba.+