-
Yohana 14:21Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
21 Yeyote aliye na amri zangu na kuzishika, huyo ndiye anayenipenda. Na yeyote anayenipenda atapendwa na Baba yangu, nami nitampenda na kujionyesha waziwazi kwake.”
-