16 Ninyi hamkunichagua, bali mimi niliwachagua na kuwaweka rasmi mwende na kuendelea kuzaa matunda na kwamba matunda yenu yadumu, ili hata mkimwomba Baba jambo lolote katika jina langu, awape.+
16 Ninyi hamkunichagua mimi, bali mimi niliwachagua, nami niliwaweka ninyi msonge mbele na kuendelea kuzaa matunda+ na kwamba matunda yenu yapate kukaa; ili hata mkimwomba Baba jambo gani katika jina langu, apate kuwapa hilo.+