Yohana 18:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Basi Pilato akaingia tena ndani ya makao ya gavana, akamwita Yesu na kumuuliza: “Je, wewe ndiye Mfalme wa Wayahudi?”+ Yohana 18:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa hiyo Pilato akaingia tena ndani ya jumba la gavana naye akamwita Yesu na kumwambia: “Je, wewe ndiye mfalme wa Wayahudi?”+ Yohana Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 18:33 Yesu—Njia, uku. 291 Mnara wa Mlinzi,12/1/1990, uku. 9
33 Basi Pilato akaingia tena ndani ya makao ya gavana, akamwita Yesu na kumuuliza: “Je, wewe ndiye Mfalme wa Wayahudi?”+
33 Kwa hiyo Pilato akaingia tena ndani ya jumba la gavana naye akamwita Yesu na kumwambia: “Je, wewe ndiye mfalme wa Wayahudi?”+