25 Kwa kweli, pia kuna mambo mengine mengi aliyofanya Yesu, ambayo kama yangeandikwa kirefu, nadhani ulimwengu haungekuwa na nafasi ya kuviweka vitabu vya kukunjwa ambavyo vingeandikwa.+
25 Kwa kweli, kuna mambo mengine mengi pia aliyofanya Yesu, ambayo, kama yangeandikwa kirefu, nadhani ulimwengu wenyewe haungeweza kuwa na nafasi ya kuviweka vitabu vya kukunjwa ambavyo vingeandikwa.+