13 Walipoona Petro na Yohana wakizungumza kwa ujasiri, ingawa walikuwa watu wasio na elimu* na wa kawaida tu,+ wakashangaa. Nao wakatambua kwamba walikuwa pamoja na Yesu.+
13 Sasa walipoona maneno ya waziwazi ya Petro na Yohana, na kufahamu kwamba walikuwa watu wasio na elimu na wa kawaida tu,+ wakaanza kustaajabu. Nao wakaanza kutambua juu yao kwamba walikuwa pamoja na Yesu;+